8 “Wakati huo Yehova alitenga kabila la Lawi+ ili lichukue sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia+ na kubariki katika jina lake mpaka leo hii.+
19 “ ‘Nawe utawapa makuhani Walawi,+ ambao ni uzao wa Sadoki,+ wale wanaonikaribia mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘ili kunihudumia, ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, awe toleo la dhambi.+