Ezekieli 44:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Nao makuhani Walawi, wana wa Sadoki,+ walioshughulikia majukumu ya mahali pangu patakatifu Waisraeli waliponiacha,+ watanikaribia ili kunihudumia, nao watasimama mbele zangu ili kunitolea mafuta+ na damu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 44:15 w99 3/1 9 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 44:15 Ibada Safi, uku. 150 Mnara wa Mlinzi,3/1/1999, uku. 9
15 “‘Nao makuhani Walawi, wana wa Sadoki,+ walioshughulikia majukumu ya mahali pangu patakatifu Waisraeli waliponiacha,+ watanikaribia ili kunihudumia, nao watasimama mbele zangu ili kunitolea mafuta+ na damu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.