Mambo ya Walawi 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye kuhani atainyunyizia madhabahu ya Yehova damu ya dhabihu hizo kwenye mlango wa hema la mkutano na kuteketeza mafuta yake ili yafuke moshi yakiwa harufu inayompendeza* Yehova.+
6 Naye kuhani atainyunyizia madhabahu ya Yehova damu ya dhabihu hizo kwenye mlango wa hema la mkutano na kuteketeza mafuta yake ili yafuke moshi yakiwa harufu inayompendeza* Yehova.+