1 Wafalme 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Halafu mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada kuwa mkuu wa jeshi baada yake, na mfalme akamweka Sadoki+ kuwa kuhani badala ya Abiathari. Ezekieli 40:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Chumba cha kulia chakula kinachotazama upande wa kaskazini ni cha makuhani walio na jukumu la kutimiza utumishi wa madhabahu.+ Hao ni wana wa Sadoki,+ Walawi waliopewa kazi ya kumkaribia Yehova ili kumhudumia.”+
35 Halafu mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada kuwa mkuu wa jeshi baada yake, na mfalme akamweka Sadoki+ kuwa kuhani badala ya Abiathari.
46 Chumba cha kulia chakula kinachotazama upande wa kaskazini ni cha makuhani walio na jukumu la kutimiza utumishi wa madhabahu.+ Hao ni wana wa Sadoki,+ Walawi waliopewa kazi ya kumkaribia Yehova ili kumhudumia.”+