Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisha nitajiinulia kuhani mwaminifu.+ Atatenda kulingana na mapenzi ya moyo wangu;* nami nitamjengea nyumba ya kudumu, naye atatembea mbele ya mtiwa-mafuta wangu daima.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Haruni:+ Eleazari mwanawe, Finehasi mwana wa Eleazari,+ Abishua mwana wa Finehasi,

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Sadoki+ mwana wa Ahitubu, na Ahimaazi mwana wa Sadoki.

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na pia Sadoki,+ kijana aliyekuwa hodari na jasiri, pamoja na wakuu 22 kutoka katika ukoo wake.*

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kisha Daudi akamwacha Asafu+ na ndugu zake hapo mbele ya sanduku la agano la Yehova ili wahudumu daima mbele ya Sanduku+ hilo, kulingana na utaratibu wa kila siku.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na kuhani Sadoki+ na makuhani wenzake walikuwa mbele ya hema la ibada la Yehova mahali pa juu kule Gibeoni+

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Daudi, pamoja na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari na Ahimeleki kutoka kwa wana wa Ithamari, waliwagawa katika vikundi kulingana na mpangilio wao wa utumishi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki