35 Kisha nitajiinulia kuhani mwaminifu.+ Atatenda kulingana na mapenzi ya moyo wangu;* nami nitamjengea nyumba ya kudumu, naye atatembea mbele ya mtiwa-mafuta wangu daima.
37 Kisha Daudi akamwacha Asafu+ na ndugu zake hapo mbele ya sanduku la agano la Yehova ili wahudumu daima mbele ya Sanduku+ hilo, kulingana na utaratibu wa kila siku.+
3 Daudi, pamoja na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari na Ahimeleki kutoka kwa wana wa Ithamari, waliwagawa katika vikundi kulingana na mpangilio wao wa utumishi.