2 Samweli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi. 1 Wafalme 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kuhani Sadoki,+ Benaya+ mwana wa Yehoyada, nabii Nathani,+ Shimei,+ Rei, na wale mashujaa hodari wa Daudi+ hawakumuunga mkono Adoniya. 1 Wafalme 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Halafu mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada kuwa mkuu wa jeshi baada yake, na mfalme akamweka Sadoki+ kuwa kuhani badala ya Abiathari. 1 Mambo ya Nyakati 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni, Kohathi,+ na Merari.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ahitubu akamzaa Sadoki;+ Sadoki akamzaa Ahimaazi.+ 1 Mambo ya Nyakati 27:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hawa ndio waliokuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Wa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri; wa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maaka; 17 wa kabila la Lawi, Hashabia mwana wa Kemueli; wa wazao wa Haruni, Sadoki;
17 Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
8 Lakini kuhani Sadoki,+ Benaya+ mwana wa Yehoyada, nabii Nathani,+ Shimei,+ Rei, na wale mashujaa hodari wa Daudi+ hawakumuunga mkono Adoniya.
35 Halafu mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada kuwa mkuu wa jeshi baada yake, na mfalme akamweka Sadoki+ kuwa kuhani badala ya Abiathari.
16 Hawa ndio waliokuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Wa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri; wa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maaka; 17 wa kabila la Lawi, Hashabia mwana wa Kemueli; wa wazao wa Haruni, Sadoki;