Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.

  • 1 Wafalme 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kuhani Sadoki,+ Benaya+ mwana wa Yehoyada, nabii Nathani,+ Shimei,+ Rei, na wale mashujaa hodari wa Daudi+ hawakumuunga mkono Adoniya.

  • 1 Wafalme 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Halafu mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada kuwa mkuu wa jeshi baada yake, na mfalme akamweka Sadoki+ kuwa kuhani badala ya Abiathari.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni, Kohathi,+ na Merari.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ahitubu akamzaa Sadoki;+ Sadoki akamzaa Ahimaazi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hawa ndio waliokuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Wa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri; wa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maaka; 17 wa kabila la Lawi, Hashabia mwana wa Kemueli; wa wazao wa Haruni, Sadoki;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki