1 Wafalme 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sulemani alikuwa na wasaidizi 12 waliowasimamia Waisraeli wote waliomwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja wao alikuwa na jukumu la kuandaa chakula mwezi mmoja kwa mwaka.+ 1 Wafalme 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Shimei+ mwana wa Ela, kule Benjamini;+
7 Sulemani alikuwa na wasaidizi 12 waliowasimamia Waisraeli wote waliomwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja wao alikuwa na jukumu la kuandaa chakula mwezi mmoja kwa mwaka.+