Kutoka 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli.+ Kohathi aliishi miaka 133. Hesabu 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Familia ya Waamramu, familia ya Waishari, familia ya Wahebroni, na familia ya Wauzieli zilitokana na Kohathi. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakohathi.+
27 Familia ya Waamramu, familia ya Waishari, familia ya Wahebroni, na familia ya Wauzieli zilitokana na Kohathi. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakohathi.+