Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:39, 40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Basi kuhani Eleazari akachukua vyetezo vya shaba vilivyoletwa na wale wanaume waliokuwa wameteketezwa, akavipiga na kuvinyoosha ili vifunike madhabahu, 40 kama Yehova alivyomwambia kupitia Musa. Viliwakumbusha Waisraeli kwamba mtu yeyote asiye na idhini* ambaye si mzao wa Haruni hapaswi kukaribia madhabahu ili kumfukizia Yehova+ uvumba na kwamba mtu yeyote asiwe kama Kora na wale waliomuunga mkono.+

  • Ezekieli 44:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Nao makuhani Walawi, wana wa Sadoki,+ walioshughulikia majukumu ya mahali pangu patakatifu Waisraeli waliponiacha,+ watanikaribia ili kunihudumia, nao watasimama mbele zangu ili kunitolea mafuta+ na damu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. 16 ‘Hao ndio watakaoingia mahali pangu patakatifu, nao wataikaribia meza yangu ili kunihudumia,+ nao watatimiza majukumu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki