Zaburi 106:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha dunia ikafunguka na kummeza DathaniNa kuwafunika wale waliokusanyika pamoja na Abiramu.+ Yuda 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao, kwa sababu wamefuata mwenendo wa Kaini,+ wamejiingiza katika kosa la Balaamu+ ili kupata faida, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+
11 Ole wao, kwa sababu wamefuata mwenendo wa Kaini,+ wamejiingiza katika kosa la Balaamu+ ili kupata faida, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+