Hesabu 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi wakakusanyika dhidi ya+ Musa na Haruni na kuwaambia: “Mmetuchosha! Kusanyiko lote ni takatifu,+ watu wote, na Yehova yuko miongoni mwao.+ Basi, kwa nini mnajikweza juu ya kutaniko la Yehova?” Hesabu 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naam, dunia ikafunguka* na kuwameza watu hao pamoja na familia zao na watu wote wa Kora+ na mali zao zote.
3 Basi wakakusanyika dhidi ya+ Musa na Haruni na kuwaambia: “Mmetuchosha! Kusanyiko lote ni takatifu,+ watu wote, na Yehova yuko miongoni mwao.+ Basi, kwa nini mnajikweza juu ya kutaniko la Yehova?”
32 Naam, dunia ikafunguka* na kuwameza watu hao pamoja na familia zao na watu wote wa Kora+ na mali zao zote.