Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Miriamu na Haruni wakaanza kusema vibaya kumhusu Musa kwa sababu ya mwanamke Mkushi aliyekuwa amemwoa, kwa maana Musa alikuwa ameoa mwanamke Mkushi.+ 2 Walikuwa wakisema: “Je, Yehova amezungumza kupitia Musa peke yake? Je, hajazungumza kupitia sisi pia?”+ Na Yehova alikuwa akisikiliza.+

  • Hesabu 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani!

  • Zaburi 106:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Walimwonea wivu Musa kambini

      Na Haruni,+ mtakatifu wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki