Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ni lazima umtakase kuhani,+ kwa sababu ndiye anayetoa mkate wa Mungu wenu. Mnapaswa kumwona kuwa mtakatifu, kwa sababu mimi, Yehova, ninayewatakasa ninyi, ni mtakatifu.+

  • Hesabu 16:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha akamwambia Kora na watu wote waliomuunga mkono, “Asubuhi Yehova ataonyesha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu na ni nani anayepaswa kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ ndiye atakayemkaribia. 6 Fanyeni hivi: Wewe Kora na wote wanaokuunga mkono,+ chukueni vyetezo,+ 7 kesho wekeni moto ndani yake na kutia uvumba juu yake mbele za Yehova, na mtu ambaye Yehova atamchagua,+ ndiye mtakatifu. Ninyi wana wa Lawi+ mmevuka mpaka!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki