-
Hesabu 16:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kisha akamwambia Kora na watu wote waliomuunga mkono, “Asubuhi Yehova ataonyesha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu na ni nani anayepaswa kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ ndiye atakayemkaribia. 6 Fanyeni hivi: Wewe Kora na wote wanaokuunga mkono,+ chukueni vyetezo,+ 7 kesho wekeni moto ndani yake na kutia uvumba juu yake mbele za Yehova, na mtu ambaye Yehova atamchagua,+ ndiye mtakatifu. Ninyi wana wa Lawi+ mmevuka mpaka!”
-