45 Kwa maana mimi ni Yehova, ninayewaongoza kupanda kutoka nchini Misri ili nijithibitishe mwenyewe kuwa Mungu wenu,+ nanyi lazima muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+
7 “‘Ni lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu. 8 Nanyi lazima mshike sheria zangu na kuzifuata.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa.+