Mambo ya Walawi 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mnapaswa kutekeleza sheria zangu,* nanyi mnapaswa kutii amri zangu na kuzifuata.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+
4 Mnapaswa kutekeleza sheria zangu,* nanyi mnapaswa kutii amri zangu na kuzifuata.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+