Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Ni lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Mambo ya Walawi 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ni lazima muwe watakatifu mbele zangu, kwa sababu mimi, Yehova, ni mtakatifu,+ nami ninawatenga na mataifa mengine ili muwe watu wangu.+

  • Yoshua 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake.+ Hatawasamehe uasi wenu na dhambi zenu.+

  • 1 Samweli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,

      Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+

      Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki