Mambo ya Walawi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Ni lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni lazima muwe watakatifu mbele zangu, kwa sababu mimi, Yehova, ni mtakatifu,+ nami ninawatenga na mataifa mengine ili muwe watu wangu.+ Yoshua 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake.+ Hatawasamehe uasi wenu na dhambi zenu.+ 1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+
26 Ni lazima muwe watakatifu mbele zangu, kwa sababu mimi, Yehova, ni mtakatifu,+ nami ninawatenga na mataifa mengine ili muwe watu wangu.+
19 Kisha Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake.+ Hatawasamehe uasi wenu na dhambi zenu.+
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+