20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+21 Msikilizeni, na mtii sauti yake. Msimwasi, kwa maana hatawasamehe maasi yenu,+ kwa sababu jina langu limo ndani yake.
35 “‘“Mimi, Yehova, nimesema. Hivi ndivyo nitakavyoutendea umati huu wa watu waovu, ambao umekusanyika pamoja dhidi yangu: Wataishia humu nyikani, naam, watafia humu.+