Hesabu 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Maiti zenu zitaanguka katika nyika hii,+ naam, ninyi nyote mlioninung’unikia, kila mtu aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi.+ Waebrania 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, si wale waliotenda dhambi, ambao maiti zao zilianguka nyikani?+
29 Maiti zenu zitaanguka katika nyika hii,+ naam, ninyi nyote mlioninung’unikia, kila mtu aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi.+
17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, si wale waliotenda dhambi, ambao maiti zao zilianguka nyikani?+