Hesabu 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunidharau mpaka lini,+ watakataa kuniamini mpaka lini licha ya miujiza yote niliyofanya miongoni mwao?+ Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+
11 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunidharau mpaka lini,+ watakataa kuniamini mpaka lini licha ya miujiza yote niliyofanya miongoni mwao?+
21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+