Kumbukumbu la Torati 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea+ na kuwaambia, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo kwa hakika nitawapa!’ mliasi tena agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkuonyesha imani+ kumwelekea wala hamkumtii. Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuingia kwa sababu walikosa imani.+
23 Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea+ na kuwaambia, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo kwa hakika nitawapa!’ mliasi tena agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkuonyesha imani+ kumwelekea wala hamkumtii.