30 Hatimaye, walitengeneza kwa dhahabu safi bamba linalong’aa, yaani, ile ishara takatifu ya wakfu, na kuchonga maneno haya juu yake kama muhuri unavyochongwa: “Utakatifu ni wa Yehova.”+ 31 Wakalifunga bamba hilo kwa kamba ya bluu ili waliweke juu ya kilemba, kama Yehova alivyomwamuru Musa.