Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hatimaye, walitengeneza kwa dhahabu safi bamba linalong’aa, yaani, ile ishara takatifu ya wakfu,* na kuchonga maneno haya juu yake kama muhuri unavyochongwa: “Utakatifu ni wa Yehova.”+ 31 Wakalifunga bamba hilo kwa kamba ya bluu ili waliweke juu ya kilemba, kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • Mambo ya Walawi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akamvisha kilemba+ kichwani na kuweka lile bamba linalong’aa la dhahabu upande wa mbele wa kilemba hicho, ile ishara takatifu ya wakfu,*+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+

      Leteni zawadi na mje mbele zake.+

      Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.*+

  • Zaburi 93:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Vikumbusho vyako vinategemeka sana.+

      Utakatifu unaipamba* nyumba yako nyakati zote,+ Ee Yehova.

  • 1 Petro 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa maana imeandikwa: “Lazima muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki