-
1 Mambo ya Nyakati 29:3-5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Isitoshe, kwa sababu ninaipenda nyumba ya Mungu wangu,+ ninatoa pia hazina yangu binafsi+ ya dhahabu na fedha kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu, pamoja na vitu vyote nilivyotayarisha kwa ajili ya nyumba hiyo takatifu, 4 na pia talanta 3,000* za dhahabu ya Ofiri+ na talanta 7,000 za fedha iliyosafishwa, ili zitumiwe kufunika kuta za nyumba, 5 dhahabu ya kutengenezea vitu vya dhahabu na fedha ya kutengenezea vitu vya fedha, na kwa ajili ya kazi yote itakayofanywa na mafundi. Basi ni nani anayejitolea kuja leo akiwa na zawadi mkononi kwa ajili ya Yehova?”+
-