Zaburi 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova, ninaipenda nyumba ambamo unakaa,+Mahali ambapo utukufu wako hukaa.+ Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+ Zaburi 122:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 122 Nilishangilia waliponiambia: “Na twende katika nyumba ya Yehova.”+
4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+