Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakilipandisha Sanduku+ la Yehova kwa kelele za shangwe+ na sauti ya pembe.+

  • Zaburi 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nimemwomba Yehova jambo moja

      —Ndilo nitakalolitafuta—

      Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+

      Ili kuutazama uzuri wa Yehova

      Na kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+

  • Zaburi 42:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ninayakumbuka mambo haya, nami naimwaga nafsi* yangu,

      Kwa maana wakati fulani nilitembea pamoja na umati;

      Nilikuwa nikitembea kimyakimya* mbele zao kwenda katika nyumba ya Mungu,

      Kwa sauti za shangwe na shukrani,

      Za umati unaofanya sherehe.+

  • Zaburi 84:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko!+

      Ninachagua kusimama kwenye kizingiti cha nyumba ya Mungu wangu

      Badala ya kukaa katika mahema ya uovu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki