2 Samweli 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakilipandisha Sanduku+ la Yehova kwa kelele za shangwe+ na sauti ya pembe.+ Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+ Zaburi 42:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninayakumbuka mambo haya, nami naimwaga nafsi* yangu,Kwa maana wakati fulani nilitembea pamoja na umati;Nilikuwa nikitembea kimyakimya* mbele zao kwenda katika nyumba ya Mungu,Kwa sauti za shangwe na shukrani,Za umati unaofanya sherehe.+ Zaburi 84:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko!+ Ninachagua kusimama kwenye kizingiti cha nyumba ya Mungu wanguBadala ya kukaa katika mahema ya uovu.
15 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakilipandisha Sanduku+ la Yehova kwa kelele za shangwe+ na sauti ya pembe.+
4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+
4 Ninayakumbuka mambo haya, nami naimwaga nafsi* yangu,Kwa maana wakati fulani nilitembea pamoja na umati;Nilikuwa nikitembea kimyakimya* mbele zao kwenda katika nyumba ya Mungu,Kwa sauti za shangwe na shukrani,Za umati unaofanya sherehe.+
10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko!+ Ninachagua kusimama kwenye kizingiti cha nyumba ya Mungu wanguBadala ya kukaa katika mahema ya uovu.