3 Itume nuru yako na kweli yako.+
Navyo viniongoze;+
Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+
4 Kisha nitakuja kwenye madhabahu ya Mungu,+
Kwa Mungu, shangwe yangu inayofurika.
Nami nitakusifu kwa kinubi,+ Ee Mungu, Mungu wangu.