Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Utatengeneza bamba linalong’aa la dhahabu safi na kuchonga maneno haya juu yake kama muhuri unavyochongwa: ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+ 37 Ni lazima ulifunge bamba hilo kwenye kilemba+ kwa kamba ya bluu; litakuwa daima upande wa mbele wa kilemba.

  • Mambo ya Walawi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akamvisha kilemba+ kichwani na kuweka lile bamba linalong’aa la dhahabu upande wa mbele wa kilemba hicho, ile ishara takatifu ya wakfu,*+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki