36 “Utatengeneza bamba linalong’aa la dhahabu safi na kuchonga maneno haya juu yake kama muhuri unavyochongwa: ‘Utakatifu ni wa Yehova.’+37 Ni lazima ulifunge bamba hilo kwenye kilemba+ kwa kamba ya bluu; litakuwa daima upande wa mbele wa kilemba.
9 Kisha akamvisha kilemba+ kichwani na kuweka lile bamba linalong’aa la dhahabu upande wa mbele wa kilemba hicho, ile ishara takatifu ya wakfu,*+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.