Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Ikiwa hamtashika kwa uangalifu maneno yote ya Sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu hiki+ na msipoliogopa jina hili tukufu na lenye kuogopesha,+ la Yehova+ Mungu wenu,

  • Nehemia 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Walawi, yaani, Yeshua, Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania, na Pethahia wakasema: “Simameni, msifuni Yehova Mungu wenu kwa umilele wote.*+ Na walisifu jina lako tukufu, ambalo limekwezwa juu kuliko baraka zote na sifa zote.

  • Zaburi 148:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na walisifu jina la Yehova,

      Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

      Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki