Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 119:111 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Ninavichukua vikumbusho vyako kuwa mali yangu ya kudumu,*Kwa maana hivyo ni shangwe ya moyo wangu.+
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
111 Ninavichukua vikumbusho vyako kuwa mali yangu ya kudumu,*Kwa maana hivyo ni shangwe ya moyo wangu.+