Ezekieli 43:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hii ndiyo sheria ya hekalu. Eneo lote kuzunguka juu ya mlima ni takatifu zaidi.+ Tazama! Hii ndiyo sheria ya hekalu. 1 Petro 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa maana imeandikwa: “Lazima muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+
12 Hii ndiyo sheria ya hekalu. Eneo lote kuzunguka juu ya mlima ni takatifu zaidi.+ Tazama! Hii ndiyo sheria ya hekalu.