Ezekieli 40:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na chumba cha kulia chakula ambacho upande wake wa mbele unaelekea kaskazini ni cha makuhani wanaotimiza wajibu wa madhabahu.+ Hao ni wana wa Sadoki,+ ambao, kutoka kwa wana wa Lawi, wanamkaribia Yehova ili kumhudumia.”+
46 Na chumba cha kulia chakula ambacho upande wake wa mbele unaelekea kaskazini ni cha makuhani wanaotimiza wajibu wa madhabahu.+ Hao ni wana wa Sadoki,+ ambao, kutoka kwa wana wa Lawi, wanamkaribia Yehova ili kumhudumia.”+