1 Wafalme 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+ Ezekieli 43:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Nawe utawapa makuhani Walawi,+ ambao ni uzao wa Sadoki,+ wale wanaonikaribia mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘ili kunihudumia, ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, awe toleo la dhambi.+
35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+
19 “ ‘Nawe utawapa makuhani Walawi,+ ambao ni uzao wa Sadoki,+ wale wanaonikaribia mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘ili kunihudumia, ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, awe toleo la dhambi.+