10 “ ‘Lakini Walawi walioenda mbali nami+ wakati ambapo Israeli, aliyeondoka akaenda mbali nami, alienda kufuatilia sanamu zao za mavi, wao pia lazima wachukue kosa lao.+
11 Patakuwa kwa ajili ya makuhani, waliotakaswa kutoka kwa wana wa Sadoki,+ ambao waliutunza wajibu kunielekea mimi, ambao hawakuenda mbali wakati ambapo wana wa Israeli walienda huku na huku, kama vile Walawi walivyoenda huku na huku.+