-
2 Wafalme 23:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Kisha akaleta makuhani wote kutoka katika majiji ya Yuda, ili apafanye pasifae kwa ibada mahali pa juu ambapo makuhani walifukiza moshi wa dhabihu, kuanzia Geba+ mpaka Beer-sheba;+ naye akabomoa mahali pa juu pa malango yaliyokuwa katika mwingilio wa lango la Yoshua, mkuu wa jiji, ambapo palikuwa upande wa kushoto mtu anapoingia katika lango la jiji.
-