Mambo ya Walawi 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Atampeleka ng’ombe dume huyo nje ya kambi na kumteketeza kama alivyomteketeza ng’ombe dume wa kwanza.+ Ni dhabihu ya dhambi kwa ajili ya kusanyiko lote.+
21 Atampeleka ng’ombe dume huyo nje ya kambi na kumteketeza kama alivyomteketeza ng’ombe dume wa kwanza.+ Ni dhabihu ya dhambi kwa ajili ya kusanyiko lote.+