Mambo ya Walawi 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha atatia kiasi fulani cha damu hiyo kwenye pembe za madhabahu+ iliyo mbele za Yehova, katika hema la mkutano; naye atamwaga damu yote iliyobaki kwenye msingi wa madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa, iliyo kwenye mlango wa hema la mkutano.+
18 Kisha atatia kiasi fulani cha damu hiyo kwenye pembe za madhabahu+ iliyo mbele za Yehova, katika hema la mkutano; naye atamwaga damu yote iliyobaki kwenye msingi wa madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa, iliyo kwenye mlango wa hema la mkutano.+