Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na ikiwa nafsi inatenda dhambi kwa kuwa anafanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe, ingawa hakujua,+ hata hivyo amekuwa na hatia na lazima atajibu kwa sababu ya kosa lake.+

  • Hesabu 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya nafsi hiyo iliyofanya kosa kwa kutenda dhambi mbele za Yehova bila kukusudia, ili kuifanyia upatanisho, naye atasamehewa.+

  • Zaburi 119:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  67 Kabla ya kuteseka nilikuwa nikifanya dhambi bila kukusudia,+

      Bali sasa nimelishika neno lako.+

  • Wagalatia 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akina ndugu, hata mtu akijikwaa katika kosa+ fulani kabla ya yeye kulijua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho+ jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo katika roho ya upole,+ huku kila mmoja wenu akiendelea kujiangalia,+ ili wewe pia usije ukajaribiwa.+

  • Yakobo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana yeyote anayeshika Sheria yote lakini ajikwae katika jambo moja, amekosa juu ya zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki