Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ 1 Wakorintho 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mnataka nini? Je, nije kwenu nikiwa na fimbo,+ au kwa upendo na upole wa roho?+ Wakolosai 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+ 1 Timotheo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+ Tito 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wasiseme vibaya juu ya yeyote, wasiwe wataka-vita,+ wawe wenye usawaziko,+ wakionyesha upole wote kuelekea watu wote.+
12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+
11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+
2 wasiseme vibaya juu ya yeyote, wasiwe wataka-vita,+ wawe wenye usawaziko,+ wakionyesha upole wote kuelekea watu wote.+