Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+

  • Mathayo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Wenye furaha ni wale walio na tabia-pole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+

  • Wagalatia 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa upande mwingine, matunda ya roho+ ni upendo, shangwe, amani, ustahimilivu, fadhili, wema,+ imani,

  • Wakolosai 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+

  • 1 Petro 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu,+ sikuzote mkiwa tayari kujitetea+ mbele ya kila mtu ambaye hutaka kutoka kwenu sababu ya tumaini lililo ndani yenu, lakini mkifanya hivyo kwa tabia-pole+ na heshima kubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki