Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ 1 Timotheo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+ 2 Timotheo 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa;+ kwa kuwa huenda Mungu akawapa toba+ inayoongoza kwenye ujuzi sahihi juu ya kweli,+ Tito 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wasiseme vibaya juu ya yeyote, wasiwe wataka-vita,+ wawe wenye usawaziko,+ wakionyesha upole wote kuelekea watu wote.+
11 Hata hivyo, wewe, Ee mtu wa Mungu, yakimbie mambo hayo.+ Lakini fuatilia uadilifu, ujitoaji-kimungu, imani, upendo, uvumilivu, tabia-pole.+
25 akiwafundisha kwa upole wale wasio na mwelekeo unaofaa;+ kwa kuwa huenda Mungu akawapa toba+ inayoongoza kwenye ujuzi sahihi juu ya kweli,+
2 wasiseme vibaya juu ya yeyote, wasiwe wataka-vita,+ wawe wenye usawaziko,+ wakionyesha upole wote kuelekea watu wote.+