2 “Sema na wana wa Israeli, uwaambie, ‘Ikiwa nafsi itatenda dhambi+ bila kukusudia+ katika yoyote kati ya mambo ambayo Yehova ameamuru yasifanywe, na kwa kweli afanye moja kati ya mambo hayo:
10 Kwa maana wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana; kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria ili ayafanye.”+