Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Sema na wana wa Israeli, uwaambie, ‘Ikiwa nafsi itatenda dhambi+ bila kukusudia+ katika yoyote kati ya mambo ambayo Yehova ameamuru yasifanywe, na kwa kweli afanye moja kati ya mambo hayo:

  • Kumbukumbu la Torati 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Amelaaniwa yule ambaye hatayatimiza maneno ya sheria hii kwa kuyafanya.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Wagalatia 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana; kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria ili ayafanye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki