Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Zaburi 119:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  21 Umewakemea wenye kimbelembele waliolaaniwa,+

      Ambao wanaziacha amri zako.+

  • Yeremia 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nawe uwaambie, ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Amelaaniwa mtu yule ambaye hayasikilizi maneno ya agano hili,+

  • Wagalatia 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana; kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria ili ayafanye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki