Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Amelaaniwa yule ambaye hatayatimiza maneno ya sheria hii kwa kuyafanya.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Yeremia 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nawe uwaambie, ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Amelaaniwa mtu yule ambaye hayasikilizi maneno ya agano hili,+

  • Matendo 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo, sasa kwa nini mnamjaribu Mungu kwa kuweka juu ya shingo za wanafunzi nira+ ambayo mababu zetu wala sisi hatukuweza kubeba?+

  • Yakobo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana yeyote anayeshika Sheria yote lakini ajikwae katika jambo moja, amekosa juu ya zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki