Kumbukumbu la Torati 27:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Amelaaniwa yule ambaye hatayatimiza maneno ya sheria hii kwa kuyafanya.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Yeremia 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nawe uwaambie, ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Amelaaniwa mtu yule ambaye hayasikilizi maneno ya agano hili,+ Matendo 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo, sasa kwa nini mnamjaribu Mungu kwa kuweka juu ya shingo za wanafunzi nira+ ambayo mababu zetu wala sisi hatukuweza kubeba?+ Yakobo 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeyote anayeshika Sheria yote lakini ajikwae katika jambo moja, amekosa juu ya zote.+
26 “‘Amelaaniwa yule ambaye hatayatimiza maneno ya sheria hii kwa kuyafanya.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
3 nawe uwaambie, ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Amelaaniwa mtu yule ambaye hayasikilizi maneno ya agano hili,+
10 Kwa hiyo, sasa kwa nini mnamjaribu Mungu kwa kuweka juu ya shingo za wanafunzi nira+ ambayo mababu zetu wala sisi hatukuweza kubeba?+