- 
	                        
            
            Wagalatia 3:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        10 Kwa maana wote wale wategemeao kazi za sheria wako chini ya laana; kwa maana imeandikwa: “Mwenye kulaaniwa ni kila mtu asiyeendelea katika mambo yote yaliyoandikwa katika hati-kunjo ya Sheria kusudi ayafanye.” 
 
-