Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini wewe mwenyewe unapaswa kuchagua kutoka kati ya watu wote wanaume wenye uwezo,+ wanaomwogopa Mungu,+ wanaume wenye kutegemeka,+ wanaochukia faida isiyo ya haki;+ na lazima uwaweke hao juu yao wawe wakuu juu ya maelfu,+ wakuu juu ya mamia, wakuu juu ya 50, na wakuu juu ya makumi.+

  • Hesabu 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wakasimama mbele ya Musa, wao na watu 250 kati ya wana wa Israeli, wakuu wa kusanyiko, walioitwa kutoka kati ya mkutano, wanaume wenye sifa.

  • Hesabu 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nanyi mtachukua mkuu mmoja kutoka katika kila kabila ili kuigawa nchi iwe miliki.+

  • Yoshua 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na wakuu kumi pamoja naye, mkuu mmoja kwa ajili ya kila nyumba ya ukoo wa upande wa baba ya makabila yote ya Israeli, na kila mmoja wao alikuwa ni mkuu wa nyumba ya baba zao katika maelfu ya Israeli.+

  • 2 Samweli 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na moyo wa Daudi ukaanza kumpiga+ baada ya kuwahesabu watu. Basi Daudi akamwambia Yehova: “Nimetenda dhambi+ sana kwa lile ambalo nimefanya. Na sasa, Yehova, tafadhali acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki