11 Naye atachinjwa kando ya madhabahu kuelekea kaskazini mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.+
4 Naye atamleta ng’ombe huyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ mbele za Yehova na kuuweka mkono wake juu ya kichwa cha ng’ombe huyo,+ naye atamchinja ng’ombe huyo mbele za Yehova.