Mambo ya Walawi 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha akachinja toleo la kuteketezwa nao wana wa Haruni wakampa damu naye akainyunyiza juu ya madhabahu kuizunguka pande zote.+ 2 Mambo ya Nyakati 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo wakawachinja+ wale ng’ombe na makuhani wakapokea damu+ na kuinyunyiza+ juu ya madhabahu; kisha wakawachinja wale kondoo-dume+ na kuinyunyiza damu+ juu ya madhabahu, nao wakawachinja wana-kondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.
12 Kisha akachinja toleo la kuteketezwa nao wana wa Haruni wakampa damu naye akainyunyiza juu ya madhabahu kuizunguka pande zote.+
22 Kwa hiyo wakawachinja+ wale ng’ombe na makuhani wakapokea damu+ na kuinyunyiza+ juu ya madhabahu; kisha wakawachinja wale kondoo-dume+ na kuinyunyiza damu+ juu ya madhabahu, nao wakawachinja wana-kondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.