Mambo ya Walawi 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano. Mambo ya Walawi 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha Musa akamchinja na kuinyunyiza damu yake juu ya madhabahu kuizunguka pande zote.+
5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.