Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye atatia sehemu ya damu hiyo juu ya pembe za madhabahu+ iliyo mbele za Yehova, ambayo imo ndani ya hema la mkutano; na damu yote inayobaki ataimimina kwenye msingi wa madhabahu ya toleo la kuteketezwa,+ iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.

  • Waebrania 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye alilinyunyizia lile hema+ na vyombo vyote vya utumishi wa watu wote vivyo hivyo kwa damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki