Mambo ya Walawi 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+ Mambo ya Walawi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+
16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+
8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+