Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Au ikiwa nafsi inaapa kiasi cha kusema kwa midomo yake bila kufikiri+ kwamba itende uovu+ au kufanya mema kuhusiana na jambo lolote ambalo huenda mtu huyo akasema bila kufikiri katika ahadi yenye kiapo,+ ingawa lilikuwa limefichwa machoni pake, na hata hivyo yeye mwenyewe amepata kulijua, basi amekuwa na hatia kuhusiana na moja kati ya mambo hayo.

  • Mambo ya Walawi 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na ikiwa nafsi inatenda dhambi kwa kuwa anafanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe, ingawa hakujua,+ hata hivyo amekuwa na hatia na lazima atajibu kwa sababu ya kosa lake.+

  • Mambo ya Walawi 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ikiwa nafsi inatenda dhambi, kwa kujiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa Yehova+ naye amdanganye+ mwenzake juu ya kitu fulani alicho nacho au arbuni iliyo mkononi mwake+ au kumnyang’anya, au ampunje mwenzake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki